Pedopenda (kwa Kiingereza: pedophilia) ni pendo la kijinsia la mtu mzima kwa watoto wasiofikia bado ubalehe.
Linahesabika katika ya maradhi ya nafsi na utekelezaji wake unaadhibiwa na sheria za nchi zote.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |